Taarifa mpaka sasa zilizotufikia ajali mbaya imetokea mjim wa pwani Chalinze na Mpaka sasa hakuna taarifa kwa kuwepo yoyoyte aliyepoteza Maisha ila wapo waliojeruhiwa lakini mpaka sasa wana uzalendo wanafatilia ili kupata Taarifa zaidi kujua hali ya Majeruhi na kuona Wanaendeleaje
No comments:
Post a Comment